Posts

Showing posts from March, 2015

England yamuingiza Kane katika ugomvi wa Messi na Christian Ronaldo

Image
 England imeanza harakati za kutaka kumpaisha Harry Kane mchezaji wa Spurs ambae pia ni raia wa chini humo ili aweze kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014/15 katika vita ambayo kwa miaka nane mfululizo imekuwa ni vita ya Messi na CR7 ambao wachezaji hao wameonekana kuwa bora zaidi na kusemekana ni wa sayari nyingine lakini England wanahitaji Kane achukue tuzo hiyo ambayo hucheza katika mikono ya waliobora zaidi Kane kwa sasa anaongoza katika orodha ya wafungaji katika ligue hiyo ya nchini kwao akifungana na Diego Costa wa Chelsea wote wakiwa na magoli 19 lakini nyuma yuko yule aliezoeleka kukimbiza kijiti cha magoli Sergio Khun Agüero wa Manchester city ambae ana magoli 17 akifuatiwa na kijana anaekuja mbio katika ufungaji Charlie Austin wa QPR mwenye magoli 15 Kwa ligi ya EPL ni ligi maarufu sana ambao umaarufu huo unatokana na lugha wanayoitumia lakini pia kujitangaza zaidi na kutoa nafasi za wawekezaji zaidi na mara kadhaa England wamekuwa ni watu wa kujali utaifa wao...

Christian Ronaldo ampiku Leo Messi Gareth Bale baba lao

Image
Wakaa wanasoka ikiendelea kupamba moto kwa mpambano baina ya washambuliaji wawili wa timu hasimu nchini Hispania Barcelona na Real madrid ambao ni baina ya Leo Messi na Christiano Rinaldo ambapo kila siku zimekuwa zikitoka takwimu za kuwalinganisha hawa jamaa wawili na kutafuta ni nani bora zaidi ya mwingine mpambano huu unaendelea ambapo mtandao wa LIGA Bancomer MX umetoa takwimu zinazoonyesha mchezaji mwenye kasi zaidi ulimwenguni wakati anapokokota mpira. Takwimu hiyo inawahainisha wachezaji kumi bora pekee ambao wameonekana kuwa wenye kasi zaidi wanapo kokota mipira wakati wakishambulia ambapo winga Gareth Bale wa Real Madrid ameshika namba moja kwa kukokota kwa kasi ya kilomita 36.9 kwa saa na kuwa kinara. Wakati Christian Ronaldo akimpiku hasimu wake kwa kushika nafasi ya tano huku akiwa na kasi ya kilomita 33.6 kwa saa akiwa kampita mpinzani wake kwa kasi ya kilomita 1.1 kwa saa, Leo Messi ameshika nafasi ya saba nyuma ya Theo Walcott mwenye kasi ya kilomita 32.7 kwa saa aliye...

Roberto usiemjua aipaisha Brazil

Image
Star wa Barcelona Neymar amefanikiwa kuipa ushindi timu yake ya taifa baada ya kupata ushindi wa goal moja bila majibu katika mchezo uliochezwa jijini London dhidi ya Chile iliyokuwa ikiongozwa na Alex Sunchez katika uwanja wake wa nyumbani wa Emirates goli safi lilifungwa na Roberto Frimino wa Brazil alieingia kama mchezaji wa akiba katika kipindi cha pili tukishuhudia mlinda mlango namba moja wa klabu ya Barcelona Claudio Bravo akishindwa kucheza mpira huo uliopgwa kiufundi na Roberto ushindi huo umeifanya Brazil kushinda takribani michezo sita mfululizo baada ya vipigo viwili vya aibu katika fainali za kombe la dunia zilizopigwa katika ardhi yao vipigo hivyo ni ile wiki (goli saba) waliyopata kutoka kwa washindi wa kombe hilo Ujerumani na kingine ni kile cha kutafuta mshindi wa tatu na wa nne walicho kula goli tatu kutoka kwa Uholanzi ambapo katika michezo hiyo miwili walipokea jumla ya magoli 10-2. Lakin haukuwa mwisho wao wa Brazil kutokung'aa sababu walitafuta tatzo na kufa...

Meseji za Mapenzi za Kajala na Bwana Aliyekuwa na Wema Sepetu Zanaswa

Image
BAADA ya taarifa za mwigizaji Kajala Masanja kudaiwa kumuibia bwana aliyekuwa shosti yake, Wema Sepetu kudumu kwa muda mrefu na kukosa ushahidi wa moja kwa moja, hatimaye ushahidi wa SMS za mapenzi za Kajala na bwana huyo wa Wema ambaye ni kigogo zimenaswa, Amani linakumegea mchongo kamili Chanzo makini kilichokuwa karibu na Kajala na kigogo huyo, kilipenyeza habari kuwa kimefanikiwa kuzinasa meseji za Kajala kupitia kwenye simu ya kigogo huyo ambaye alidumu katika penzi na Wema kisha kumwagana baada ya Kajala kuingilia kati. “Nimetumia ujanja wa hali ya juu hadi nikafanikiwa kupata SMS za Kajala na yule kigogo wa Wema, kama vipi niwatumie,” kilisema chanzo chetu.Kama hiyo haitoshi, chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, SMS hizo zilionesha namna Kajala alivyokuwa akiitana baby na kigogo huyo, huku wakiwa ‘dip kimalovee’ kiasi cha kigogo huyo kuwagharamia wazazi wa Kajala mahitaji mbalimbali. “Jamaa walikuwa wanapika na kupakua, kigogo alikuwa akigharamia kila kitu, kuanzia misosi y...