ARDA TURAN AZIKANA MAN U NA CHELSEA

Kuna taarifa zisizo rasmi zilisambaa kuwa Arda Turan kiungo mshambuliaji wa Athletico Madrid kuwa anatarajia kutua kati ya Manchester united na Chelsea taarifa hiza zimekanushwa vikali na mchezajia huyo na ameweka wazi kuwa anakaribia kutua Barcelona na ameyaandika hayo kwa kupitia mtandao wake wa twita

Comments

Popular posts from this blog

Bad news for Manchester United Manchester City and Arsenal in UEFA Champions League

State’s financial support to farming reaches 1tri/-