Firmino kutua England ni Man U, Man city au Liverpool

Roberto Firmino atarajiwa kutua katika ligi ya Uengereza ambapo wakala wake ametamka wazi kuwa mteja wake anatarajiwa kukipiga katika ligi hiyo ingawa hakuweka wazi kuwa atatua katika timu ipi ambazo zinamuwania ni Liverpool ambapo ataenda kuwa mbadala wa Raheem Starring, Man city au ni Man United ambapo Van Gal ameweka wazi nia ya kumchukua kiungo huyo ambaye kwa misimu kadhaa akiwa katika ligi ya ujerumani alicheza michezo 153 na kutupia magoli 49 akiwa kama midifilda

Comments

Popular posts from this blog

State’s financial support to farming reaches 1tri/-

Bad news for Manchester United Manchester City and Arsenal in UEFA Champions League